Free Mafundisho ya Yesu Mlimani - Bangalore

Monday, 25 December 2023

Item details

City: Bangalore, Karnataka
Offer type: For Free

Contacts

Contact name Gabriele Publishing
Phone WhatsApp 004915118838742

Item description

Kristu anazungumza (Sehemu za kitabu «Hili ndilo Neno Langu»):
Mafundisho ya Mlimani ni njia ya kiroho inayoongoza moyoni mwa Mungu, kwenye ukamilifu.
Ninaongoza watu wangu kwenye ufahamu wa ukweli.
«Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao!» Neno «maskini» halimaanishi ukosefu wa mali. Siyo ukosefu wa mali ndio unaleta raha rohoni bali mshikamano wa kina na Mungu, kwa kutimiza mapenzi yake. Huo ndio utajiri wa kiroho.
Neno «maskini» lamaanisha wale wote wasiotafuta kumiliki na kujirundikia mali… Utajiri wao wa ndani ni maisha katika Mungu, kwa manufaa ya Mungu na ya majirani wao. Wanatimiza amri «Omba na tenda kazi».
«Heri wanaoteswa, kwa maana watafarijiwa.»
Mungu siye mhusika wa mateso ya mwanadamu…
16 pages